iqna

IQNA

al kawthar
Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

TEHRAN (IQNA)- Zoezi la kuwasajili washiriki wa Awamu ya 14 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar linaendelea.
Habari ID: 3473764    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/27

TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Qur’ani kutoka Iran, Ustadh Ali Asghar Shoaei, ameibuka mshindi katika duru ya 11 ya Mashindano ya Qur’ani ya mubashara kupitia Televisheni ya Kimataifa ya Al Kawthar.
Habari ID: 3471561    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/16

TEHRAN (IQNA)-Televisheni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imerusha hewani mashindano makubwa zaidi duniani ya Qur'ani ya moja kwa moja (live).
Habari ID: 3471035    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/25